MSSIS HELP

Jinsi ya kupublish/kutangaza matokeo ya mitihani

Jinsi ya kupublish/kutangaza matokeo ya mitihani* Mkuu (kwa mitihani ya ndani) ndo atakuwa na access ya ku-publish matokeo ili yaweze kuonekana kwa akaunti ya staffs wote kwa `kubofya Academics=>Exams=>bofya kwenye kijicho/view button ya mtihani husika=>bofya publish.` *NB:* Matokeo yakishakuwa published, hakutakuwa na fursa ya mwl wa somo yeyote kupandisha/kufanya mabadiliko yeyote ya alama za watahiniwa. Ikitokea kuna haja ya kufanya changes, ajulishwe mkuu wa shule ili Unpublish matokeo ili mwl husika aweze kufanya changes ya scores za watahiniwa.

Related Articles